Mbunge kutoka baraza la wawakilishi, Mh. Mussa Hamisi Silima apata ajali Dodoma jana jioni akitokea Dar es salaam kuelekea Dodoma akiwa na familia yake. Kwa mujibu wa Spika Anne Makinda, Mkewe Mwanaheri Fahari, amefariki dunia. Mh Silima alikuwa ametokea zanzibar kwenye mazishi.
Maiti na Majeruhi wanatarajiwa kusafirishwa asubuhi hii kwa ndege kwenda Zanzibar.
Mola aiweka Roho ya marehemu mahali pema peponi na awajaalie walioheruhiwa kupata ahueni haraka
Maiti na Majeruhi wanatarajiwa kusafirishwa asubuhi hii kwa ndege kwenda Zanzibar.
Mola aiweka Roho ya marehemu mahali pema peponi na awajaalie walioheruhiwa kupata ahueni haraka
No comments:
Post a Comment