Monday, August 22, 2011

Jembe jipya darajani


Matajiri wa londo Chelsea fc wamekubaliana na Mchezaji Juan Mata pamoja na Club ya valencia ya Uhispania ada ya Uhamisho ya Pound 26ml na kumnyakua mchezaji huyo kwa ajili ya msimu huu wa ligi.

Wambea tafuteni Kivuri Jua kali Mwaka Huu




No comments: