Saturday, September 17, 2011

Mpambano wa kukata na shoka kati ya Dar es salaam Zoofc na TaswaFc uliofanyika jana katika viwanja vya Dar es salaam Zoo kama unavyoonekana katika picha,mpambano huo wa kukata nashoka ulishuhudia timu ya TaswaFc ukishinda kwa taabu goli 3-0.
Dhumuni la mpambano huu ni ufunguzi wa viwanja vya michezo vilivyomo katika zoo hii pamoja timu ya Dar ZooFc na udhamini wa Dar zoo kwa TaswaFc.
Mchezo umechezeshwa na Mwamuzi wa kimataifa mstaafu othman Kazi, na Kamisaa akiwa Sakina Lioka.
Magoli ya Taswa Fc yalipachikwa na Majuto, Juma pinto na Hussein

Marketing Manager
Salim Hassan
Dar es Salaam Zoo
+255 784 524285
info@daressalaamzoo.com
www.daressalaamzoo.com

CIMG2055.JPG
CIMG2075.JPG
P9160265.JPG
CIMG2060.JPG

No comments: